Shock as Tanzanian singer, Shilole, shows battered face at the hands of her hubby

Reading Time: < 1 minute

Battered and abused by her loved one.

Tanzanian singer and movie actress Zena Yusuf Mohammed aka Shilole is a battered and abused woman. To make it worse, she has been keeping it on the low and taking all the beating in private before emerging in public with a smile.

On Wednesday, Shilole broke the news of what she has been persevering at the hands of her husband Ashrafu Sadiki popularly known as Uchebe on her Instagram page.

Also Read: Amina Mude now swallows her words and refutes claims of breakup with Ben Kitili

View this post on Instagram

Naandika haya, nikiwa na akili timamu na utulivu, La kwanza kabisa nataka KUOMBA RADHI JAMII YANGU. Naomba radhi kwa sababu niliwaaminisha ndoa yangu haina tatizo, huku ukweli ukiwa hauko hivyo, nimekuwa mtu wa kuambulia vipigo na MENGINE yasiyozungumzika, Naomba radhi kwa sababu niliposikia wanawake wenzangu wakipigwa niliwaambia PAZENI SAUTI, niliposikia mwanamke kule Kigamboni ameuwawa na kuchomwa moto niliomboleza na jamii na kusema Bora angesema".. huku mimi nikijikausha na kujitoa kwenye kundi lao wakati ukweli wangu MIMI NI MWENZAO, Naomba radhi. . Mimi ni kioo cha jamii, tena sura kubwa ya wanawake. Leo numeona nivunje ukimya kwa kuweka wazi kwamba MUME WANGU ASHRAFU SADIKI, maarufu kama UCHEBE AMEKUWA ANANIPIGA SAAANA, na tena hata baada ya kunipiga hajali kupiga simu wala kujua naendeleaje, nauguzwa na watu baki hospitali, na bado manyanyaso mengine yanayoikosesha hii ninayoiita Ndoa uhai na furaha na zaidi nina WATOTO, watoto wanaoniangalia kama Baba na Mama, leo nikubali kufa na kuacha wanangu barabarani, SITAWEZA . 'Uchebe' ni mwanaume niliyempenda, nilimvumilia kwa madhaifu yote, nikampa kila kitu, (Utu wangu, Mali Zangu na hata palipotakiwa kumuendeleza asimame mwenyewe nilifanya kwakuwa nilijua tuko pamoja), lakini HILO HALIKUWAHI KUZUIA VIPIGO, DHARAU NA USALITI. . Siku 2 zilizopita baada ya kutoka SABASABA KUTAFUTIA WATOTO WANGU NA KUMTAFUTIA YEYE NILIPIGWA SANA. SABABU ZA KUPIGWA NI MIGOGORO MIDOGO YA KAWAIDA AMBAYO IPO KWENYE KILA NDOA, sio kwamba amenifumania au mambo yanayoshindwa kuzungumzika, hapana, Tena Namuheshimu sana, lakini solution aliyoiona ni kunipiga kinyama bila huruma, tena kwa kunishtua na ngumi nikiwa usingizini, Kama mnavyoona picha hapo ni matukio ya siku tofauti tofauti. Najua nitalaumiwa kwa kuweka hili mtandaoni, ILA SINA NAMNA, MAISHA YANGU NI MAISHA YA WATU KWA KIASI KIKUBWA, JAMII INANITAZAMA KAMA MFANO.. Nimefika mwisho, na kuanzia sasa naomba nisitambulike kama Mke wa Uchebe, ila Mama alieamua kuweka maslahi ya watoto wake mbele na kuamua kuwa mwenyewe kwa usalama na furaha yake Wakati nahangaikia mambo yangu ya ndoa, post hii itumike kuwakumbusha wanawake TUVUNJE UKIMYA, TUPINGE UKATILI, TUTAKUJA KUULIWA SABABU

A post shared by Shilole (@officialshilole) on

Entertainment industry comes to her rescue

Shilole and Uchebe. (Ghetto radio)

As soon as Shilole posted the photos than some of the East Africa entertainment industry heavyweights rushed to her defense and offered words of comfort. Messages of sympathy and shock streamed in, in their hundreds.

‘Ah my Sister pole sana, Mwenyezi Mungu akulinde, wewe ni Kiongozi wetu, nakuombea uwe IMARA’ ? – iambenpol

‘Pole sana sis…Mw/Mungu akupitishe katika hili ? – elizabethmichaelofficial

‘Pole sana sana sana da Shilole. You don’t deserve this at all! Mwenyezi Mungu akusimamie ?? – moodewji

‘??? dah pole sana shishi – juma_jux 

Self-proclaimed president of single mothers, Kenyan singer, Akothee penned down a powerful message urging her to follow through her decision to walk out of her abusive marriage.

View this post on Instagram

SAY NO TO DOMESTIC VIOLENCE ?‍❤️‍? No woman should go through this kind of humiliation, it's not that we are weak and can't fight back , it's the respect and love that we have for you that brings submission, every woman in love will do everything to keep her marriage going even when you date an imbecile ?, No one wants to live alone ,it's very lonely up there ,it's even worse as a celebrity. This kind of action of uproting women's eyes and beating them like snakes is only done with men without morals and behaviours ,The way I invest in my body ,if one idiot lay his hands on me one day??? ,I don't know if I will call police or sergeant at arm's ,I think The president will adress the nation that day ,or his mother will find both of us in Jail , if my security guards don't squiiiiize his balls to level Zero before ambulance ambulance will do it's work ? @officialshilole this hurts and as a single mother you need your energy to take care of your children and your business .This mother fucker will have another woman the very day of your burial if things got out of hands and you loose your life ?.any Man who can do this to you , really don't have attachment to your life , I can't even afford to beat my own Salome to this level ???, what do men normally think they are are ? Who are they ? Especially men with only done dicks , will even be more worse ,they will beat you 2 times , they beat you for you ,then they beat you for their own frustrated life , as if you are the one who messed their lives , I have dated imbeciles before , & when it had to reach my body ,my friend the door, they stole my money and even gossip about me with my own employees ???, my FRIEND THE DOOR . ITS BETTER TO BE ALONE THAN BEING IN A FATAL LONELY RELATIONSHIP. 1. If you disrespect me _?YOU Go 2. if you Cheat on us , I don't want to contract diseases ?YOU GO 3.if you steal my money _ YOU GO 4. if you beat me up ?YOU WILL FEEL YOUR BODY & ROT IN JAIL 5. if you are broke and miserable alcoholic & Lazy ?YOU GO YOU WILL JUST HAVE TO GO WITH ALL YOUR MISERIES AND LEAVE MY PEACEFUL LIFE ALONE ??????? Pole MoMA SAY NO TO DOMESTIC VIOLENCE ITS NIT WORTH IT ????

A post shared by AKOTHEE KENYA (@akotheekenya) on

 

3933

Leave a Reply

Pin It on Pinterest

fr_FRFR